My Web
Emmanuel
CONTACT
Tuesday, February 16, 2016
BUSARA KWA WANAWAKE. YAFUATE HAYA MAHUSIANO YAKO YADUMU
Wewe ni nani? Karoti, yai au Mbegu ya kahawa
Monday, February 15, 2016
KOSA MOJA TENA DOGO LINAWEZA LIKAKUFANYA UWE MTUMWA WA KUDUMU.
MGOMBEA URAIS WA MAREKANI ..DONALD TRUMP ASEMA AFRIKA NI LAZIMA ITAWALIWE TENA KIKOLONI
Wednesday, January 13, 2016
Samatta afanyiwa party iliyopewa jina la Samatta Party
Zawadi ya Samatta kwa Waziri mkuu ikipokelewa na waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi
Headlines za Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani ya Afrika, bado inazidi kuleta furaha kwa wapenzi, mashabiki, watanzania na viongozi wa serikali kwa ujumla. Usiku wa January 12 Mbwana Samatta alifanyiwa party iliyopewa jina la Samatta Party. Party ilifanyika na serikali kutangaza kumpatia zawadi ya kiwanja Kigamboni na siku kadhaa mbele atakabidhiwa hati.
Mkuu wa idara ya Vodacom kanda ya Pwani Harrieth Koka akiwa katika picha ya pamoja na Samatta
Mshindi wa Big Brother Afrika Idris Sultan akiwa na Samatta
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Pope kushoto na mwandishi wa habari za michezo Saleh Ally
Samatta katikati, kushoto waziri wa michezo Nape Nnauye na waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akithibitisha serikali kumzawadia fedha na kiwanja maeneo ya Kigamboni.
Thomas Ulimwengu alikuwepo pia kumsapoti Samatta
Monday, January 11, 2016
Technology
An "intelligent" toilet that opens when you approach it and self-cleans with every flush is on display at the Consumer Electronics Show in Las Vegas.
It also cleans the user with an aerated wand, which delivers warm water and warm air "from a seated position", a spokeswoman said.
Despite a $9,800 (£6,704) price tag, more than 40 million earlier versions of the Neorest toilets have been sold.
Bathroom firm Toto said the new prototype was still in development.
Its self-cleaning process uses a combination of a disinfectant and a glaze - made out of zirconium and titanium dioxide - which coats the bowl.
"Once it flushes it sprays the interior of the bowl with electrolysed water," explained Toto spokeswoman Lenora Campos.
She said the "proprietary process" essentially turns the water into a weak bleach.
"This bleaches the interior, killing anything in the bowl," said Ms Campos.
Meanwhile an ultraviolet light in the lid charges the surface.
That makes it super-hydrophilic - or water-loving, so nothing can stick to it - and also photocatalytic, enabling oxygen ions to break down bacteria and viruses.
"You don't have to clean the toilet bowl for over a year," said Ms Campos.
The BBC asked several of Las Vegas' hotels if they might be interested in such a product, but all declined to comment.
However, one smart home expert said the device proved there was still space for innovation beyond hooking things up to the internet.
"It illustrates the notion that tech breakthroughs involve rethinking things," said Frank Gillett from the tech consultancy Forrester Research.
"It's not necessarily about adding anything new."
Potential purchasers should be warned, however, that the device does not totally absolve them of toilet cleaning duties since its cleansing techniques do not extend to spills outside of the bowl.
Friday, December 18, 2015
Thursday, December 17, 2015
Hela za Elimu Bure zapatikana Bilioni 131/- zatengwa elimu bure
RAIS John Magufuli amewahakikishia Watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari, zimetengwa Sh bilioni 131 mwezi huu na kupelekwa moja kwa moja katika shule husika.
Amesema Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa, watapatiwa nakala za taarifa za ugawaji wa fedha hizo na kuonya kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa yeyote atakayethubutu kuzitumia vibaya.
Rais Magufuli alisema hayo Ikulu Dar es Salaam jana muda mfupi baada ya kupokea ujumbe maalumu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe aliyemtumia salamu za pongezi kwa kuchaguliwa kuiongoza Tanzania.
Dk Magufuli aliongeza kuwa fedha hizo ambazo ni pamoja na fedha za maendeleo, fedha za mitihani na fedha vifaa vya ku fundishia zitaanza kutumwa kila mwezi kuanzia mwezi huu.
Katika kipindi cha kampeni, Rais Magufuli aliahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi hadi sekondari kidato cha nne na hivi karibuni kupitia Wizara ya Elimu ilitoa waraka maalumu wa kusisitiza agizo hilo la elimu bure.
Katika hatua nyingine, Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo.
“Kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni moja na bilioni mia tatu,” alisema Rais Magufuli katika taarifa hiyo iliyotolewa jana na Ikulu.
Rais Magufuli pamoja na mambo mengine, jana alipokea ujumbe maalumu wa maandishi kutoka kwa Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe uliowasilishwa na Waziri wa Nchi anayeshughu likia Mambo ya Nje ya Japan, Seiji Kihara.
Ujumbe huo umemueleza Rais Magufuli kuwa Japan imeridhishwa na hatua ambazo Serikali ya Tanzania inazichukua katika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuahidi kuongeza msukumo kwa upande wa Japan katika kuharakisha utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Japan nchini.
Mjumbe huyo juzi alishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya ujenzi wa njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 441.5 kutoka Singida - Manyara - Namanga na kuunganisha hadi Kenya, ambapo Japan imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 96 ili kufanikisha mradi huo.






