My Web

Emmanuel

CONTACT

Monday, July 1, 2013

KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO WA SMART PARTNERSHIP DIALOGUE 2013

 


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na vijana 
wa umri wa CPTM 29ers waliohudhuria mkutano wa Smart Partneship Dialogue 2013 
wakati wa ufunguzi rasmi wa mkuatno huo unaoshirikisha watu zaidi ya 800 katika 
Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre jijini Dar es salaam Ijumaa Juni 28, 2013
Rais Kikwete na viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika 
mijadala na vijana wa CPTM 29ers
Viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika mijadala na vijana 
wa CPTM 29ers
Mjadala ukiendelea
Rais wa Sri Lanka akishiriki mjadala na vijana wa CPTM 29ers

Rais Omar Bongo katika mjadala huo
Kijana akichangia
Vijana wakichangia mjadala
Rais Mstaafu Mhe Benjamin Mkapa na Rais Mstaafu wa Msumbiji 
Joachim Chissano katika mjadala
 
Kijana akichangia katika mjadala
Rais wa Sri Lanka na Dkt Mihaela Smith wakifuatilia mjadala
 
Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akisalimiana na vijana hao
Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
Wageni mbalimbali katika mkutano huo
                                                                    Ujumbe wa Swaziland
Ujumbe wa Tanzania
Meza kuu
Meza kuu
Vijana nwa THT wakitumbuiza
 
Viongozi mbalimbali
THT wakitumbuiza
Meza kuu wakifurahia onesho la THT
Wanafunzi wakiimba kwa furaha
 

Meza kuu wakishangilia
Sehemu ya wageni

No comments:

Post a Comment

New