KANISA LA KILUTHERI DAYOSISI YA KARAGWE LASITISHA IBADA
> Askofu Benson Bagonza ametangaza kufunga Ibada na mikusanyiko ya Dayosisi ya Karagwe kuanzia Aprili 26, 2020 na kuwaasa Viongozi wengine wa Dini nao kusitisha Ibada badala ya kusubiri Serikali iwatake kusitisha 
  
  
  
No comments:
Post a Comment