Askofu Mkuu wa kanisa la 
Anglikana, Rowan Williams, amefichua kuwa kanisa hilo linaandaa mpango 
wa kumteua rais wa kanisa, ambaye atabeba sehemu ya jukumu la kuongoza 
kanisa duniani.
Doctor Williams, ambaye anastaafu mwezi wa Disemba baada ya uongozi wa miaka 10, alikiri kuwa hakuweza kufanya mengi kuzuwia mgawanyiko kanisani juu ya swala la uhusiano wa jinsia moja.
No comments:
Post a Comment