Manusha Sarawan akielezea mchakato wa kumpata Rose Muhando ulivyofanyika.
Rose Muhando akielezea furaha yake ya kuchaguliwa kuwa balozi wa Sony Music.
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku (kushoto,) na wanamuziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Ally Kiba (kulia) wakisikiliza kwa umakini kwenye mkutano huo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark Production, Rita Paulsen ‘Madam Rita’ (kushoto,) na mtayarishaji muziki maarufu, Master J, wakibadilisha mawazo kwenye mkutano huo.
Manusha alisema mchakato wa kumpata balozi huyo ulishirikisha wanamuziki wakongwe zaidi ya 130 barani hapa.
No comments:
Post a Comment