
Baadhi ya watu wakivuka kwenye mafuriko
 

mmama nae akipita akiwa na sufuria zake
 

Magari madogo yapata chida ya kupita kutokana na maji kuwa mengi
 

Jamaa akifanya Biashara yakuwavusha watu kwa kuwabeba
 

watu wakiendelea kuvuka sambamba na magari
 

Jamaa wakivaa viatu baada ya kumaliza kuvuka kwenye maji mengi
 

Bajaji nazo zilikuwa kwenye wakati mgumu kutokana na maji kuwa mengi sana
 

Pikipiki nazo zapata adha hiyo ya mvua
 
 
No comments:
Post a Comment