My Web

Emmanuel

CONTACT

Tuesday, January 22, 2013

White House Easter Egg Roll: The First Lady Reads to Kids

First Lady Michelle Obama reads "The Little Mouse, The Red Ripe Strawberry, and The Big Hungry Bear, written by by Don Wood and Audrey Wood, White House Easter Egg Roll.

White House Easter Egg Roll: The First Family Reads "A Sick Day for Amos M cGee"

The First Family reads "A Sick Day for Amos McGee, written by Philip C. Stead and illustrated by Erin Stead,White House Easter Egg Roll.


BIG BROTHER SEEKS HOUSEMATES!


January 2013
The eighth edition of Africa’s biggest reality series BIG BROTHER AFRICA kicks off in May and already fans of arguably the most successful television franchise ever seen on the continent are asking…
who will the new housemates be? Who will find their name and their faces gracing newspapers, their profiles loaded to websites and blogs? Who will become the subject of drive time radio and just who will find themselves heating up the Twitter-sphere?
At this time there is no way to know this but if you meet the entry requirements and enter between now and Valentine’s Day on February 14, you may well be among the superstars in waiting and may find yourself flirting with fame and fortune!
This year, entry is open to the same 14 countries as the year before with the only exception being Liberia which will be replaced by Ethiopia for this year. The replacement comes as AfricaMagic and series producers EndemolSA rotate certain countries into and out of the format. The reason for this is to ensure that a wide range of countries can be included in different editions of the series.
As a result of the change, participating countries this year are: Angola, Botswana, Ethiopia, Ghana, Kenya, Malawi, Namibia, Nigeria, Sierra Leone, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe.
Entry is open to all those persons over the age of 21, who are citizens of one of the participating countries and who either have a valid passport or will be able to obtain one by the end of March. Producers are looking for persons who are fluent in English, entertaining and passionateabout the Big Brother experience. Of particular importance to the selection team are the qualities of tolerance, determination and enthusiasm. If you are open-minded, bold and adventurous, that’s even better!
Entry forms are available immediately at www.africamagic.tv/bigbrother so visit the website and complete the online submission form. Printed entry forms will also be available at MultiChoice offices in the participating countries from February 1, 2013.
As with previous editions of Big Brother Africa, the new season will have a twist…and according to
M-Net Africa Managing Director Biola Alabi, who has helmed the production for the past four years, the big surprise this year is one that audiences are expected to fall in love with. “As always, we won’t say much about the new season but I can confirm that we’ve added a new element that I think will get the hearts of viewers racing. The fact that the fans truly adore the show is all the motivation we need to keep it fresh and fun!”
Her views are echoed by Endemol MD Sivan Pillay who says, “Our long-term association with M-Net is very much a partnership, a marriage of sorts. We understand what they desire for their audiences, and they trust us enough to let us develop innovative twists and surprises. So the process is quite harmonious and very exciting, as all good relationships should be. I am hopeful that this year we are creating a red-hot show that will include familiar trademarks like nominations and evictions alongside a very special new development.”
Previous editions of Big Brother Africa have boasted huge cash prizes for winners and this year the winner will walk away with USD 300 000.
More information on BIG BROTHER AFRICA 8 will be made available over the next month, so stay tuned to AfricaMagic, follow the action on Twitter and Facebook and keep checking the website.  BIG BROTHER AFRICA 8 will be screened live 24/7 on DStv channels 197 and 198 while GOtv audiences will see highlights of the program which begins on Sunday May 26 and is scheduled to run for 91 days.

WATANZANIA TUJIKINGE NA UGONJWA HATARI WA MAWE KWENYE FIGO KWA CHAKULA


UGONJWA wa mawe kwenye figo ni miongoni mwa magonjwa yanayowapata na kuwasumbua watu wengi hivi sasa. Hata hivyo, kudhani kwamba wewe huwezi kupatwa na ugonjwa huo bila kuchukua tahadhari mapema ni sawa na dereva kudhani gari lake haliwezi kuishiwa mafuta wakati hajaenda kwenye kituo cha mafuta kuweka.

Kama kweli unahitaji kujiepusha na ugonjwa huu ambao tiba yake mara nyingi huwa ni operesheni, ni vizuri ukaanza kuchukua tahadhari mapema ya kujikinga kwa kula vyakula ambavyo vitakusaidia kuzidumisha na kuziweka figo zako katika hali ya usalama na usafi daima. Zifuatazo ni dondoo muhimu za vitu vya kula ambavyo hutoa kinga hiyo:
JUISI HALISI NA MATUNDA
Figo husaidiana na kibofu katika usagaji wa chakula na uondoaji wa sumu mwilini. Lakini kiungo kimoja kati ya hivi viwili kikijaa uchafu kwa sababu ya lishe duni au kula vyakula vyenye sumu, vitu mfano wa vimawe vidogo hujitengeneza kwenye figo, na vikifikia hatua hii, huwa vigumu kuyeyuka na huwa ndiyo mwanzo wa matatizo ya kiafya.
Hata hivyo, tatizo hili linaweza lisikupate ukiwa na tabia ya kunywa juisi halisi za matunda (ya kutengeneza nyumbani, siyo viwandani) pamoja na mboga za majani kila siku, kwani juisi na mboga za majani huondoa mrundikano wa uchafu na sumu katika kibofu na figo hivyo kuuacha mwili wako salama.
Miongoni mwa matunda yenye uwezo mkubwa wa kutoa kinga na hata nafuu kwa mgonjwa wa mawe kwenye figo ni pamoja na ‘epo’ (apple), ambalo lina kirutubisho aina ya ‘pectin’ ambacho kina uwezo wa kulainisha na kuyeyusha mawe na kuzuia mengine kujitengeneza kwenye figo. Pia juisi za limau, machungwa (jamii zote), nyanya pamoja na ‘beet root’ hutoa kinga imara dhidi ya ugonjwa huu hatari.

MAFUTA MAZURI
Ingawa wataalamu wengine huwashauri wagonjwa wa mawe kwenye figo kujiepusha na ulaji wa mafuta kabisa, hasa wale waliofanyiwa operesheni ya kuondolewa mawe, lakini kuna baadhi ya mafuta ni muhimu katika kuondoa mawe yaliyopo na kuzuia kutokea kwa mengine kwenye figo.
Kwa mafano, mafuta ya mzeituni (Olive Oil) hutumika mara nyingi katika tiba mbadala ya kusaidia usafishaji na uondoaji wa mawe kwenye figo. Vilevile mafuta ya nazi na hata mafuta ya wanyama wanaofugwa katika mazingira asilia ya kula majani porini, yanahusika katika afya ya kibofu na figo kwa kuziepusha sehemu hizo kupatwa na mawe.
Epuka kutumia mafuta yatokanayo na Soya ambayo yanaelezwa ni miongoni mwa mafuta yanayosabibisha magojwa ya uvimbe na kolestrol mbaya mwilini na mafuta mengine ya mimea ambayo yamesafishwa kiwandani na kuondolewa virutubisho vyake vyote vya asili.

BIZARI
Bizari au manjano, kama inavyojulikana na wengine, ni miongoni mwa viungo vya mboga ambavyo huzuia utengenezaji wa mawe kwenye figo. Pendelea kutumia bizari kwenye mboga kwani utafiti unaonesha kuwa kiungo hiki, ambacho kina kiwango kingi cha madini ya kashiamu, kina uwezo mkubwa wa kutoa kinga na kuzuia magonjwa ya uvimbe, likiwemo la utokeaji wa mawe kwenye figo. Pia husadia sana usagaji wa chakula tumboni.
Mwisho, wakati ukizingatia ulaji wa vyakula vilivyotajwa hapo juu katika kutoa kinga au kupambana na mawe kwenye figo, jiepushe na ulaji wa sukari nyingi na ulaji wa vyakula  vya kusindika, kwani hivyo ndivyo huchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Kumbuka kinga ni bora kuliko tiba, chukua tahadhari mapema kabla ya hatari

PRESIDENT OBAMA DELIVERS HIS SECOND INAUGURAL ADDRESS

Thursday, January 17, 2013

Guardiola kuwa meneja wa Bayern Munich

Pep Guardiola, mwenye umri wa miaka 41, awali ilidhaniwa angelijiunga na Chelsea, au Manchester City, zote za Uingereza.
Vilabu vya Uingereza vimeikosa nafasi ya kumpata Guardiola

 

Guardiola ametia saini mkataba wa miaka mitatu na Bayern Munich, hadi mwaka 2016.

Atachukua madaraka ya Jupp Heynckes, ambaye ameamua kustaafu.

Siku zake akiwa mchezaji, Guardiola, aliwahi kuvichezea vilabu vya Barcelona, Brescia, Roma, Al.-Ahli, Dorados na pia timu ya taifa ya Uhispania.

Alikabidhiwa pia tuzo nyingi akiwa mchezaji.

Katika kazi ya meneja, amewahi kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya Uhispania, La Liga, mara tatu, ushindi wa Supercopa de Espana mara tatu, mara mbili kutwaa ubingwa wa Copa Del Rey, ubingwa mara mbili wa klabu bingwa barani Ulaya, mara mbili Kombe la Uefa na vile vile mara mbili ubingwa wa Kombe la Dunia la FIFA kwa upande wa vilabu.

Guardiola, ambaye alizaliwa tarehe 18 Januari, mwaka 1971, Santpedor, Uhispania, tangu kuondoka uwanja wa Nou Camp mwezi Mei mwaka 2012, amepumzika msimu mzima, baada ya kukiwezesha klabu kupata jumla ya vikombe 14, ikiwa ni pamoja na ushindi wa klabu bingwa barani Ulaya mara mbili.

"Tumefurahi sana tumefanikiwa kumshawishi mtaalamu wa soka Pep Guardiola kuja Bayern Munich, ambaye vilabu vingi vikuu vilimtamani na kuwasiliana naye," alieleza mkurugenzi mkuu wa Bayern, Karl-Heinz Rummenigge.

"Yeye ni kati ya makocha waliofanikiwa sana duniani, na tuna hakika kwamba sio tu ataiwezesha klabu ya Bayern kung’ara, lakini hata soka ya Ujerumani kwa jumla."

Bayern kwa hivi sasa inaongoza katika ligi kuu ya Ujerumani ya Bundesliga, na itapambana na Arsenal ya Uingereza mwezi ujao, ikiwa ni miongoni mwa timu 16 zilizosalia katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya.

Heynckes, mwenye umri wa miaka 67, kabla ya siku kuu ya Krismasi alikuwa ameifahamisha klabu hiyo inayocheza katika ligi kuu ya Bundesliga kwamba hana nia ya kutia saini mkataba mpya baada ya msimu huu.

Mkataba wake utakwisha tarehe 30 mwezi wa Juni, na Guardiola atachukua mahala pake siku itakayofuata.

Monday, January 14, 2013

SADC Troika meets again overMadagascar crisis




THE summit of the SADC Troika on Politics, Defense and Security Cooperation,in Dar es salaam over the weekend again put the political developments in Madagascar in the limelight,with yet fresh questions as to whether the General Elections in May would open a new chapter for the country.
President Jakaya Kikwete,who is head of the SADC Troika on Politics, Defense and Security Cooperation chaired the Summit over the weekend. The Madagascan authorities have announced that presidential elections will be held in May and parliamentary elections in July.
The implementation of a road map agreed by all the main Madagascan political forces in September 2011 has been made difficult by the threats issued by the Rajoelina regime that the deposed president, Marc Ravalomanana, will be arrested if he returns to the country.
In order to break the impasse, Ravalomanana has announced that he will not be a candidate in the forthcoming elections. But SADC hopes to persuade both Rajoelina and Ravalomanana to stand down. Mozambican President Armando Guebuza, who is the current chairperson of the Southern African Development Community (SADC), Hifikepunye Pohamba of Namibia (the deputy chairperson), and Jacob Zuma of South Africa (the outgoing chairperson) also attended.
Addressing the opening session of the meeting for ministers during the week, Foreign Minister Bernard Membe said the summit is urgent “due to the dynamic nature of the crises we face in Madagascar, the DRC and Zimbabwe”. According to the programme for the summit, the man who seized power in Madagascar in 2009, Andry Rajoelina, addressed the SADC leaders about the situation on the island on Friday morning.
Since the 2009 coup, Madagascar has been suspended from membership of both SADC and the African Union, pending the restoration of constitutional order. The Madagascan authorities have announced that presidential elections will be held in May and parliamentary elections in July. The implementation of a road map agreed by all the main Madagascan political forces in September 2011 has been made difficult by the threats issued by the Rajoelina regime that the deposed president, Marc Ravalomanana, will be arrested if he returns to the country.
In order to break the impasse, Ravalomanana has announced that he will not be a candidate in the forthcoming elections. But SADC hopes to persuade both Rajoelina and Ravalomanana to stand down. As for Zimbabwe, SADC’s concern is that free and credible elections should be held later this year. The elections are now in doubt because one of the pre-conditions for holding them, a new constitution, is still not in place.
Negotiators from the three main political parties (President Robert Mugabe’s ZANU-PF and both factions of the Movement for Democratic Change, MDC) produced a draft constitution last year. To the anger of the MDC, ZANU-PF has tried to introduce last minute amendments to the draft, making it quite impossible to hold a referendum on the constitution in October, as had initially been planned.
Mugabe has recently threatened that elections will be held anyway, on the basis of the old constitution, a position unacceptable to the MDC. SADC is also seriously concerned at the conflict in the eastern DRC, pitting the M23 rebel movement against the government of President Joseph Kabila. At its annual heads of state summit held in Maputo in August, SADC blamed Rwanda for the conflict, and demanded that Rwanda immediately ease its support for the M23.
Guebuza, in his first mission as SADC chairperson, carried this message personally to Rwandan President Paul Kagame later in August. International anger has obliged the United Nations to impose sanctions against the M23. These are having some effect, in that the M23 has declared a unilateral ceasefire, ahead of a second round of negotiations with the Congolese government in Kampala.
The M23’s Executive Secretary and chief negotiator, Francois Rucogoza, told reporters that his movement would continue with the peace talks, regardless of whether Kabila’s government also signed the ceasefire. Summit considered the political and security situation in the region, in particular the latest developments in the Democratic Republic of Congo, the Republic of Madagascar and the Republic of Zimbabwe.
In the previous Summit in early December 2012, these were the resolutions: Summit:(i) reaffirmed the indivisibility and respect for the sovereignty and territorial integrity of the Democratic Republic of Congo; (ii) expressed deep concern regarding the deteriorating security and humanitarian situation in eastern DRC due to the prevailing situation; (iii) strongly condemned the M23 and all its attacks on the civilian population, United Nations Peacekeepers and humanitarian actors, as well as its abuses of human rights, including summary executions, sexual and gender based violence;
(iv) affirmed that SADC, as a block will deploy the SADC Standby Force in the Eastern DRC under the auspices of the Neutral International Force(NIF) (v) welcomed the decision of the ICGLR to mandate the United Republic of Tanzania to appoint a Force Commander for the NIF to be deployed in the Eastern DRC; Tanzania’s Director of Information Department (MAELEZO), Mr Assah Mwambene at the SADC Summit in Dar es salaam with another SADC official.
(vi) mandated the SADC Interstate Politics and Diplomacy Committee (ISPDC) and the SADC Secretariat to work together with the ICGLR to engage the African Union Peace and the United Nations Security Council for support to the deployment and sustenance; (vi) urged UN to change MONUSCO mandate to the United Nations Chapter VII; (vii) commended the United Republic of Tanzania and the Republic of South Africa for pledging one battalion and logistics support for the NIF respectively; and (viii) commended the DRC for contributing funds for the deployment of the NIF. On Madagascar:Summit commended:
(i) His Excellency Joachim Chissano, former President of the Republic of Mozambique and the SADC Mediator on the political conflict in Madagascar for his efforts towards restoring the constitutional normalcy in the country; (ii) His Excellency Jacob Zuma, President of the Republic of South Africa and the Outgoing Chairperson of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation for his contribution in resolving the crisis in the country; (
iii) His Excellency James Michel, President of the Republic of Seychelles for his contribution in assisting the Malagasy towards finding a lasting solution to the political situation in their country. 8.2 Summit endorsed the report of the SADC Mediator and: (i) urged the Malagasy political stakeholders to fully implement the Madagascar Roadmap in the letter and spirit; (ii) urged that the dates of 8 May 2013 for Presidential Elections and 25 July 2013 for Parliamentary Elections be respected by all parties concerned;
(iii) Summit took note of, and undertook to give serious consideration to the request to SADC to contribute 10 million U$ to the Malagasy elections of 2013. In this regard, the Summit urged SADC Member States to make timely voluntary contributions. Summit also directed the Secretariat to mobilise financial and logistical support from the international community. 8.3 Summit reiterated its decision that former President Mr. Marc Ravalomanana should return to Madagascar unconditionally. 8.4 Summit reemphasized that the two candidates, Mr Marc Ravalomanana and Mr. Andry Rajoelina, should be persuaded not to stand in the forthcoming general elections as a way forward towards resolving this crisis.
8.5 Summit reiterated its position that the Amnesty Law be implemented in order to create conducive conditions for the return of the political exiles including Mr. Ravalomanana. 8.6 Summit urged the political stakeholders to develop legislation before the May 2013 elections that would guarantee the privileges of the former Heads of State. 8.7 Summit urged the Transitional Government to repeal the legislations intended to exclude its citizens from participating in the coming elections.

Jaji wa kesi ya Tanesco, Dowans sasa asifiwa


Mitambo ya Dowans

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Fredrick Werema na Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu, wamemmwagia sifa kedekede Jaji Emilian Mushi kutokana na hukumu ya kesi kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans, dhidi ya Shirika la Umeme (Tanesco).
Katika hotuba zao za kumuaga Jaji Mushi aliyestaafu hivi karibuni, Jaji Werema na Jaji Jundu walirejea hukumu za kesi kadhaa alizozitoa Jaji Mushi kama kielelezo cha umakini, ujasiri, uadilifu na weledi wake, ikiwamo hukumu hiyo ya Dowans.
Msimamo huo wa Jaji Werema na Jundu umekuja wakati Tanesco ikihaha kukata rufaa kupinga hukumu hiyo iliyosajiri tuzo ya Dowans, iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC).
AG Werema
Katika hotuba yake ya kumuaga Jaji Mushi, Werema alisema kuwa Jaji Mushi katika utendaji wa shughuli zake alikuwa akitenda bila kufungamana na upande wowote, pasipo hofu wala upendeleo, nia mbaya au kuathiriwa na hali yoyote. Akizungumzia kesi ya Dowans, Werema alisema kuwa Jaji Mushi amethibitisha kuwa ni mtafiti, mtu wa kutafakari na mchambuzi wa sheria, huku akiifananisha na chuo cha sheria za usuluhishi wa migogoro ya kibiashara.
“Wale wanaotamani kuwa wataalamu katika usuluhishi, anawashauri kusoma hukumu yake katika shauri la Madai namba 8/2011 linalohusiana na usuluhishi baina ya Dowans Holdings SA (Costa Rica) na Dowans Tanzania Ltd ya Tanzania dhidi ya Tanesco.”, alisema Jaji Werema.
Jaji Jundu
Kwa upande wake Jaji Kiongozi, Jundu, akizungumzia hukumu ya Dowans alisema kuwa ni mfano wa jinsi Jaji Mushi alivyokuwa akisisitiza hukumu zinazozingatia ushahidi na ukweli, na kwamba alikuwa mwangalifu, mwadililifu, mweledi, mtenda haki bila upendeleo.
Alisema kuwa katika hukumu hiyo Jaji Mushi alizingatia sana ukweli na ushahidi, pamoja na sheria zinazohusiana na masuala ya usuluhisi..
Kwa upande wake Jaji Mushi pia aliitaja kesi ya Dowans kuwa ni miongoni mwa kesi ambazo hatazisahau katika maisha yake ya ujaji kutokana na changamoto mbalimbali alizokabiliwa.
Alisema miongoni mwa changamoto aliyoipata katika kesi hiyo ni jinsi ya kuwianisha uamuzi wa ICC na kulinganisha na sheria zinazotumika hapa nchini, pamoja na msukumo wa kisiasa katika shauri hilo.
Novemba 15, 2010 ICC, chini ya Mwenyekiti Gerald Aksen akisaidiwa na wasuluhishi Swithin Munyantwali na Jonathan Parker, iliiamuru Tanesco iilipe Dowans fidia ya Sh94 bilioni kwa kuvunja mkataba baina yake na kampuni hiyo kinyume cha sheria.

Petr Cech joins calls for Chelsea to reward Frank Lampard with new deal

Petr Cech and Frank Lampard together at Chelsea
Petr Cech and Frank Lampard together at Chelsea
Goalkeeper Petr Cech has joined the clamour for Frank Lampard to be offered a new contract at Chelsea.

A Stamford Bridge exit seems imminent for Lampard following his agent's admission that a deal beyond the summer had not been forthcoming.
But Cech has echoed supporters in calling for the England international to be rewarded for a series of impressive performances this season - the latest at Stoke on Saturday - and insists he remains a key figure.
Cech said: "There are still six months to go until the end of the season so we will see whether he stays or not. I'm not a director but if he keeps playing like that he will keep asking about the extension.

"The team has changed, his age has changed, but he's still important for the team.
"He might not start every game or play every game but when he plays he plays well with his quality and experience, so this is something that is great to see.
"I've known him for a long time and he's been a fantastic player for the club, and he continues to be so."
Chelsea interim boss Rafael Benitez appears to have no say in the decision but insists the uncertainty is not causing a problem.
"I have talked about this 100 times now," Benitez said after the 4-0 win at the Britannia Stadium. "He's under contract, he's a good player. He has to keep performing and he's fine. I think it's not an issue at the moment."

raia wa Afrika Kusini wanashangazwa na ubakaji



Msichana mmoja alibakwa katika eneo hilo tarehe 2 Januari
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuwa bado anaishi katika chumba kimoja katika mtaa wa mabanda wa Soweti wakati polisi walipokuja kumkamata siku chache kabla ya mkesha wa siku kuu ya mwaka mpya.
Kwa mujibu wa mashahidi kadhaa, mtu huyo alikuwa amembaka msichana mmoja mwenye umri wa miaka kumi na saba katika baa moja, na alihisi kuwa kitendo hicho ni cha kawaida na hivyo hakujaribu kutoroka.
Hamna hata mtu mmoja katika baa hiyo, mbali na msichana huyo alifikiria kupasha polisi habari kuhusiana na tukio hilo.
Wakati ambapo taifa la India, linachunguza sheria za nchi hiyo kufuatia tukio la ubakaji, Afrika Kusini inaonekana kuwa imezembea.
Serikali ya nchi hiyo imeonekana kutojali yale yanayotendeka licha ya takwimu kubainisha viwango vya ubakaji nchini humo viko juu hata kuliko taifa la India.
Vijana katika eneo la Soweto
Visa elfu sitini vya ubakaji huripotiwa kila mwaka nchini Afrika Kusini, idadi ambayo ni maradufu ya visa vinavyoripotiwa nchini India.
Lakini wataalamu wanahisi kuwa visa hivyo huenda vikawa vingi zaidi kwa kuwa mara nyingi wasichana wanaobakwa huwa hwajitokezi kutoa habari kwa polisi.
Mapema wiki hii vyombo vya haabri nchini Afrika Kusini, vilichapisha habari kuhusu kile kinachosemekana kuwa mtindo mpya, ambao wanawake wakongwe ndio wanaolengwa na wabakaji.
Nyingi ya visa hivyo hulenga kina mama walio na umri mkubwa katika maeneo mashambani.
Katika matukio haya wamama wawili walio na umri wa miaka 82 na 73 walibakwa tarehe mbili mwezi huu.
Licha ya hasira na ghadhabu iliyojitokeza miongoni mwa raia wa nchi hiyo ambao walipiga simu katika vituo vya radio, viongozi wa taifa hilo bado hawajaona umuhimu wa kukabiliana na janaga hilo.
Katika siku za hivi karibu, waandishi wa habari na wanaharakati wa kijamii, wamekuwa wakichunguza matukio yanayoendelea nchini India, huku wakiwa na matumaini kuwa yangelitendeka nchini humo, kwa kuwa kujadili suala hilo pekee halitoshi.

Kuna idadi kubwa ya wabakaji Afrika Kusini

Mpumelelo Mkhabela Mhariri wa gazeti moja la Soweto
Mhariri mkuu wa gazeti la Mpumelelo Mkhabela, la Soweto, Mpumelelo Mkhabela, amesema kuna haki ya raia wa nchi hiyo kujitokeza zaidi na kupambana na tatizo la ubakaji.
Mkhabela, kwa upande mmoja anasema serikali ya nchi hiyo imejitahidi, lakini raia nao wanapaswa kujitolea na kuchangia katika harakati hizo, badala ya kuonyesha ghadhabu kwa siku moja.
Kwa sasa inakisiwa kuwa Afrika Kusini, ndilo taifa linaloongozwa kwa visa vya ghasia na ubakaji barani Afrika na duniani kwa ujumla.
Visa vya ubakaji vimekuwa vikiendelea kwa kwa miongo kadhaa na raia wengi wanayaona kama ni matukio ya kawaida.
Katika jamii nyingi nchini humo, kina mama huzungumzia jinsi wanavyotarajia kudhalalishwa huku wavulana nao wakiishi huku wakiwa na dhana kuwa wao wana haki zaidi kuliko wasichana na kina mama.
Lakini mapema wiki hii, raia wa nchi hiyo walighadhabishwa sana na tukio la kubakwa kwa msichana mmoja, mwenye umri wa miaka 21, na kundi moja la vijana, tukio ambao ambalo limeangaziwa pakubwa na vyombo vya habari nchini humo.

Wasichana na wamama wanaishi kwa wasiwasi

Msichana mmoja katika mtaa wa Soweto
Msichana huyo alibakwa akiwa njiani kwenda kujisajili katika chuo kimoja kikuu nje ya mji wa Pretoria.
'' Kwa sasa hatuko salama hata kidogo, kila siku tunahofia kuwa unaweza kubakwa'' Alisema msichana mmoja katika chuo hicho.
Ripoti zinasema msichana huyo alikamatwa na watu wanne ambao walimvuta hadi kichakani ambako walianza kumbaka.
Kwa bahati nzuri msichana huyo alinusurika.
Wanafunzi wengi katika chuo hicho ambao hawakuwa wamesikia tukio hilo, hawakushangzwa.
Wengi wao walikuwa wakiendelea na shughuli zao za kupiga foleni ili kutafuta nafasi ya kusoma licha ya jua kali..
Mwanamme mmoja ambaye alikuwa akipita hapo alikiri kuwa kuna idadi kubwa ya wabakaji katika eneo hilo.
Kwa mshangao mama mmoja ambaye alikuwa miongoni mwa waliokuwa wakipiga foleni, aligeuka huku akiwa na hasira, na kusema '' Sijui ni nini mbaya na wanaume wa siku hizi''.
'' Ni lazima jambo la dharuru lifanyike ili kukabiliana na matukio ya ubakaji'' alisema msichana huyo

Thursday, January 10, 2013

SONY WAZINDUA SIMU BOMBA

Ni hela yako tu kwakuwa sasa unaweza kumiliki simu unayoweza kuitumia ukiwa unaoga bila wasiwasi kuwa itaharabika. Inaweza pia kuendelea kuwa nzima hata kama ikianguka chooni.Kampuni ya Sony imezindua simu zake mpya Xperia Z ambazo muundo wake huo unaweza kuwa tishio kwa soko la simu za iPhone.
Gadget Show Sony

sony 3

sony 4

Simu hizo za Sony zinaweza kutumbukizwa kwenye maji ya kina cha futi 3.3 na kukaa kwa dakika 30.Hata kama ikianguka chooni simu hiyo unaweza kuoshwa kwenye maji masafi na kuendelea kupiga kazi.
Kampuni hiyo imesema mtu mmoja kati ya 10 wameshawahi kuangusha simu chooni wakati flani na hivyo simu hizo zinaweza kuwa suluhisho.

Tuesday, January 8, 2013

WIMBO WA DIAMONDI KESHO



diamond platnumz- Kesho lyrics



Lisu ataka ushirikiano kuleta maendeleo



MNADHIMU Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu amewaomba wanachama wa Chadema mkoani hapa kumwongezea nguvu Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa katika shughuli za maendeleo.

Lisu alisema hayo katika mkutano wa hadhara mwishoni wa wiki iliyopita katika viwanja vya Mwembetogwa na kuongeza kuwa imefika wakati Wanachadema kumwongezea nguvu Msigwa ili kufanikisha shughuli za maendeleo na katika uamuzi wa kimaslahi wa jimbo.

Alisema kumchagua Msigwa pekee bila kuongeza nguvu nyingine ikiwamo Madiwani wengi katika Baraza la madiwani, litasaidia kufanya uamuzi sahihi na usimamizi bora wa miradi ya maendeleo pamoja na uamuzi wa bajeti inayokuja katika Jimbo la Iringa mjini.

“ Nimefurahi kumpa ubunge Msigwa ili awawakilishe bungeni, kwani ni mtendaji mzuri na anawatetea lakini ukija huku jimboni madiwani ni wachache katika Baraza la Madiwani wapo 24 ambao wawili ndiyo wa kwetu sasa katika uamuzi hawa wenzetu wa CCM wanatushinda, sasa mtusaidie 2015 kuweka madiwani wengi ili tufanye mambo ya maana,” alisema Lisu.
Aidha alisema kupanga safu hiyo waanze na mwaka 2014 katika uchaguzi mdogo wa Serikali za mitaa, ili kumpunguzia kazi Msigwa ya kushughulikia masuala ya ngazi ya chini ili wampe nafasi kufuatilia mambo mbalimbali ya maendeleo ngazi ya kitaifa. “

Kwa sasa wapo wachache lakini wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuwabana hawa wenzetu na maendeleo yanaonekana, lakini niwaombe sana pangeni safu ya chama chetu kuanzia katika uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa mwakani kisha ongezeni madiwani mwaka 2015” alisema Lisu.

Wakati huo huo wanachama hao wa Chadema wamewaunga mkono wakazi wa Mtwara kufuatia serikali kutaka kuisafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar Es Salaam bila ya wenyewe kunufaika nayo.

Wanachama hao wa Chadema waliunga mkono wakazi wa Mtwara baada ya Lisu kuwauliza kama wanaunga mkono gesi hiyo kusafirishwa kutoka mkoa huo na kupelekwa Dar bila manufaa nayo .

“ Hii ni rasimali yetu Watazania wote, na si kama hatutaki serikali kuipeleka gesi hiyo Dar Es Salaam kisha kuirudisha Mtwara, lakini kwanini wanaisafirisha bila wao kunufaika nayo kisha ndiyo wairudishe tena huko, Wanachadema wenzangu lazima tuwaunge mkono wenzetu” alisema Lisu.

Wanasiasa wachangia Tume ya Katiba

 
Ndg. Andrew Chenge akiwasilisha maoni ya chama chake kuhusu Katiba Mpya
katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba

TUME ya Mabadiliko ya Katiba, jana ilianza kukusanya maoni ya vyama vya siasa katika mchakato wa Katiba Mpya, huku baadhi ya vyama hivyo vikitoa mapendekezo mbalimbali kuhusu suala la urais.
Vyama vilivyozungumzia urais katika mkutano huo uliofanyika jana jijini Dar es Salaam ni CCM, CUF na Chadema.

Taarifa za vyama hivyo zilipatikana baada ya wawakilishi wao kuwasilisha maoni kwenye tume hiyo katika mkutano wa ndani ambao waandishi wa habari hawakuruhusiwa kuingia.

Wakati CCM ikitaka Katiba ijayo iruhusu mgombea binafsi, Chadema imependekeza Mtanzania yeyote mwenye umri wa kuanzia miaka 18 aruhusiwe kupiga kura na kugombea nafasi yeyote ya uongozi nchini. CUF imependekeza Muungano wa Mkataba.

Mwanasheria wa Chadema ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alisema chama hicho cha upinzani, kimependekeza Katiba Mpya imtambue mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 kuwa ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kushika nafasi yoyote ya uongozi nchini.

“Haingii akilini kwa mtu mwenye umri wa miaka 18 anakubalika kupiga kura na kumchagua kiongozi anayemtaka, lakini yeye mwenyewe hakubaliki kugombea nafasi yoyote ya uongozi ikiwamo urais, ubunge na udiwani,” alisema Lissu.

Alihoji “Kama Katiba ya sasa inamtambua mtu mzima kuwa ni yule anayeanzia umri wa miaka 18, kwa nini linapokuja suala la kuchaguliwa kwa ngazi zote ananyimwa haki hiyo hata kama ana vigezo vingine?”
Pia Lissu alisema kuwa Katiba Mpya haina budi kuanzisha utawala wa majimbo yasiyozidi kumi ili kuleta uwiano katika matumizi ya rasilimali kwenye maeneo yote ya nchi.

Aliyataja majimbo hayo kuwa ni Jimbo la Nyanza Magharibi ambalo litajumuisha mikoa ya Kagera, Geita na Shinyanga; Nyanza Mashariki mikoa ya Mwanza, Mara na Simiyu, Ziwa Tanganyika kwa mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa na Jimbo la Kati litakalojumuisha mikoa ya Dodoma, Tabora, Singida na Iringa.

Mengine na mikoa yake kwenye mabano ni Jimbo la Kaskazini ( Arusha, Manyara na Kilimanjaro), Pwani ya Kaskazini (Tanga, sehemu za Pwani na sehemu za Morogoro), Jimbo la Dar es Salaam, Jimbo la Pwani Kusini (Mtwara, Lindi, Wilaya za Mafia, Rufiji na Ulanga) na Kanda ya Nyanda za Juu (Njombe, Mbeya na Ruvuma).

Mwakilishi wa CCM, Andrew Chenge alipendekeza kuwapo kwa mgombea binafsi katika nafasi zote ili kutoa fursa ya wananchi wasio wanachama wa chama chochote cha siasa kupata nafasi ya uongozi.

Alisema, kitakachofanyika ni kitengeneza mazingira mazuri ambayo yatawezesha mgombea huyo kupatikana bila ya kuwapo kwa itikadi za udini au ukabila.

“Mapendekezo ya chama chetu ni kuwapo kwa mgombea binafsi ili kushiriki kwenye nafasi zote za uongozi. Hii itasaidia kuondoa ubaguzi au kuleta udini, jambo ambalo linaweza kutoa fursa kwa wananchi wasio na udini wala chama kushiriki kwenye nafasi ya uongozi,”alisema Chenge.

CUF Serikali tatu
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba alisema kuwa, chama hicho, kimependekeza kuwa na mkataba katika masuala mbalimbali yanayohusu Muungano.

Man City striker Mario Balotelli is a 'rotten apple', says AC Milan president Berlusconi


Mario Balotelli: A 'rotten apple' who could infect AC Milan, according to Silvio Berlusconi
Mario Balotelli: A 'rotten apple' who could infect AC Milan, according to Silvio Berlusconi

AC Milan president Silvio Berlusconi has killed off talk that the Italian club are interested in signing Mario Balotelli, describing the Manchester City forward as a "rotten apple".
Balotelli has been linked with a move to Milan as a possible replacement for the already-departed Pato and Robinho, who is expected to leave during the current transfer window, but Berlusconi has ruled the move out.

The Rossoneri president said: "The name of Balotelli never came into my thoughts, he is a rotten apple and could infect every group where he goes, even Milan.
"I'm sorry to say this, but in Milan is very important to the human aspect. If you put a rotten apple in the locker room can infect all the others."
Italy international Balotelli has been out of favour at the Etihad following his lacklustre display in the Manchester derby against Manchester United and was recently pictured confronting manager Roberto Mancini during a training session.

Wabunge wa NFA wasusia vikao vya bunge



Bunge la Libya
Wabunge wa Libya wakiwa bungeni

Wabunge wa muungano mkuu wa wabunge wasioegemea upande wowote katika serikali ya mseto nchini Libya, wamejiondoa na kutangaza kuwa hawatahudhuria vikao vya bunge kulalamikia kucheleweshwa kwa shughuli ya kuandika katiba mpya, ili kuongoza nchi hiyo, baada ya kuondolewa na kuuawa kwa kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Muamar Gadaffi.
Mbunge mmoja wa muungano wa Liberal National Forces Alliance (NFA) Souad Sultan,  kuwa bunge hilo limeshindwa kuafikia matakwa na matarajio ya raia wa nchi hiyo.
Bunge hilo ambalo lilichaguliwa mwezi Julai mwaka uliopita, miezi Tisa tangu kuuawa kwa Kanali Muammar Gaddafi.
Sultan amesema kuwa wabunge wameshindwa kukubaliana kuhusu jinsi katiba hiyo mpya inapaswa kuandikwa.

Raia wa Libya wakiandamana wakitaka serikali kuwapokonya silaha makundi ya waasi

katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, Rana Jawad, anasema kuwa muungano huo wa NFA utaka wapiga kura kuchagua kamati ya watu 60, ambao watahusika na shughuli ya kuandika katiba hiyo mpya.
Lakini, makundi mengine yanataka bunge hilo lenye wanachama mia mbili kuchagua kamati hiyo.
Muungano wa NFA, ambo ndio mkubwa zaidi katika bunge la nchi hiyo, pia umesema ukosefu wa usalama na jinsi bunge hilo linavyoendesha ndio sababu kuu ya wao kujiondoa.
Wabunge wa muungano huo wamedhulumiwa mara kadhaa katika meizi ya hivi karibuni, baada ya waandamanaji kuvamia bunge hilo, na kutatiza vikao vyake.
Lakini mbunge mmoja wa chama cha Minority Front Party, MFP, Mohamed Addarat, amesema kujiondoa kwa wabunge wa NFA hakutakua na athari yoyote, katika shughuli za bunge hilo.
Amesema bunge hilo litaendelea na vikao vyake bila tatizo lolote.
Ibrahim al-Gheriani, ambaye ni kiongozi wa muungano huo wa NFA, amesema wamegadhabishwa na utendaji kazi wa bunge hilo.
Lakini kwa mujibu wa vyombo vya habari, wabunge wa muungano huo wanatarajiwa kurejea tena bungeni baadaye wiki hii.
Libya imekubwa na msukosuko wa kisiasa tangu kuondolewa madarakani na kuuawa kwa Kanali Muammar Gaddafi Oktoba mwaka wa 2011.
Serikali ya nchi hiyo imekuwa ikijaribu kuwapokonya silaha makundi ya wapiganaji ambayo yamekuwa yakijaribu kupambana na wanajeshi wa serikali ya sasa.

Tapeli anaswa kwa kuiba mamilioni ya dola



Mshukiwa mmoja wa udakuzi wa komputa ambaye anasakwa na idara ya ujasusi nchini Marekani, FBI, kuhusiana na madai ya kuiba mamilioni ya madola kutoka benki za Marekani, ili kufadhili maisha ya anasa, amekamatwa mjini Bangkok Thailand.

Hamza Bendelladj
Hamza Bendelladj baada ya kukamatwa na polisi mjini Bengkok

Shirika hilo la FBI, limekuwa likimsaka mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 24, Hamza Bendelladj, ambaye ni mtaalamu wa masuala ya komputa, kutoka Algreia kwa zaidi ya miaka mitatu.
Ripoti zinasema mshukiwa huyo amekuwa akiiba kutoka benki hizo za Marekani tangu alipokuwa na umri wa miaka 20.
Polisi nchini Thailand wanasema mshukiwa huyo, Bendelladj amekiri alitumia fedha hizo kuisha maisha ya starehe na anasa.
Bendelladj, anazuiliwa katika kituo kimoja cha polisi katika uwanja wa ndege mjini Bangkok baada ya kuwasilia kutoka Malaysia akiwa safirini kuelekea Misri.
Utawala wa Marekani unamtuhumu kuhusika na wizi katika akaunti za watu binafsi katika zaidi ya mabenki 217 na taasisi wa kifedha kote duniani na kusababisha hasara ya mamilioni ya madola.
Mkuu wa polisi nchini Thailand amesema mshukiwa, alikamatwa katika uwanja mkuu wa ndege ambako alisema yeye pamoja na familia yake wamekuwa likizoni.
Polisi wanasema wamenasa komputa mbili, kifaa kimoja cha tarakilisha, simu ya sate lite na vifaa vingine vya komputa kutoka kwa mshukiwa huyo.
Ripoti zinasema Bendelladj anatarajiwa kusafirishwa hadi nchini Marekani, katika Jimbo la Georgia ambako mahakama moja ilitoa kibali cha kukamatwa kwake.
ndelladj anatarajiwa kusafirishwa hadi nchini Marekani, katika Jimbo la Georgia ambako mahakama moja ilitoa kibali cha kukamatwa kwake

Rais wa Ghana aapishwa rasmi mjini Accra



Rais John Mahama
Rais wa Ghana akiapishwa
Chama kikuu cha upinzani nchini Ghana, kimesusia sherehe za kuapishwa kwa rais John Mahama kufuatia uchaguzi wa mwezi uliopita uliokumba na utata.
Chama cha New Patriotic Party (NPP) kimedai Bwana Mahama alishinda uchaguzi huo kwa njia ya udanganyifu.
Matokeo rasmi yalimpa Bwana mahama ushindi wa asilimia 50.7, ya kura zaote zilizopigwa, kiwango ambacho kinamfanya kueouka duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya mgombea wa chama cha NPP Nana Akufo-Addo, ambaye alipata 47.7%.
Kabla ya kuapishwa kwake rais Mahama alitoa wito kwa rais wa nchi hiyo kuwa watulivu na kuwa na umoja, ili kudumisha demokrasia yao ambayo kwa sasa inakisiwa ndiyo thabiti zaidi barani Afrika.
Bwana Mahama alikuwa makamu wa rais hadi kifo cha ghafla cha rais John Atta Mills mwezi Julai mwaka uliopita.
Kiongozi wa chama cha NPP
Tangu wakati huo amekuwa akihudumu kama kaimu rais wa nchi hiyo.
Katika hotuba yake, rais Mahama aliwaambia raia wa nchi hiyo kuwa hatapuuza maslahi yao na kuwa atafanya kila juhudi ili kuleta maendeleo.
''Ahadi nilizotoa, ndizo ahadi nitakazo timiza'' Alisema rais Mahama.
Siku ya Ijumaa wiki iliyopita rais huyo alitoa wito kwa wabunge wa nchi hiyo kushirikiana.
Maelfu ya wafuasi wa rais huyo walifurika bustani ya uhuru iliyko katika mji mkuu wa nchi hiyo, Accra, kuhudhuria sherehe hiyo.
Marais kadhaa wa mataifa ya Kiafrika walihudhuria sherehe hiyo ikiwa ni pamoja na rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma na rais wa Nigeria Goodluck Jonathan.
Aliyekuwa rais wa nchi hiyo John Kufuor pia alihudhuria sherehe hizo na kukiuka matakwa na wito wa chama chake.
Kituo kimoja cha Radio cha kibinafsi nchini humo kiliripoti kuwa takriban wafuasi 40 wa chama cha NPP walikuwa wamepiga kambi nje ya makaazi rasmi ya rais huyo wa zamani ili kumzuia kuhudhuria sherehe hizo.

Monday, January 7, 2013

Bashir na Kiir wapata muafaka

Omar al-Bashir na Salva Kiir
Marais wa Sudan na Sudan Kusini wameafikiana kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa mwaka jana.
Viongozi hao walimaliza mkutano wao wa siku mbili mjini Addis Ababa Jumamosi.
Mvutano baina ya nchi mbili hizo umekuwa tishio kubwa katika eneo lao.
Wapatanishi wa Umoja wa Afrika (AU) wataweka ratiba ya kutekeleza makubaliano yote ambayo bado hayakufwatiliwa.
Ratiba hiyo itakuwa tayari mwisho wa juma lijalo, kwa mujibu wa taarifa ambayo BBC imeiona.
Ikiwa ratiba itafuatwa, basi mpaka baina ya nchi mbili hizo rasmi utakuwa eneo la amani, na Sudan Kusini itaanza tena kuchimba mafuta na kuyasafirisha kwa kupitia Sudan.
Juba iliacha kuchimba mafuta mwaka jana kwa sababu ya ugomvi wake na Khartoum kuhusu kiasi gani inafaa kuilipa Sudan kwa kusafirisha mafuta yake kwa kutumia miundo mbinu ya Sudan.
Miezi mitatu baadae majeshi ya nchi hizo yakaanza kupigana mpakani na kutia ulimwengu wasi-wasi.
Mpatanishi wa AU, Thabo Mbeki, amesema nchi zote mbili zimekubali kuheshimu makubaliano yaliyotia saini Septemba mwaka jana.
Na suluhu kuhusu Abyei ni kwamba itawekwa serikali ya pamoja kutawala eneo hilo na maeneo mengine yenye utata.
Kwa hivo kwa ufupi marais wote wawili wameafikiana kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa awali.

Misri yabadilisha baraza la mawaziri



Sarafu ya Misri imepoteza thamani
Mawaziri sita wameapishwa nchini Misri katika mabadiliko ya mwanzo ya baraza la mawaziri tangu katiba mpya kukubaliwa.
Serikali sasa ina mawaziri wepya wa fedha na mashauri ya ndani ya nchi, wakati serikali inajaribu kuimarisha uchumi uliozorota na sarafu iliyoporomoka.
Waziri mpya wa fedha, El-Morsy El-Sayed Hegazy, amekariri kuwa Misri inataka kukubaliana na IMF, ipewe mkopo wa dola bilioni nne na laki nane milioni, ambao ulicheleweshwa kwa sababu ya msuko-suko wa kisiasa nchini humo.

Nelson Mandela hajambo



Mandela
Serikali ya Afrika Kusini inasema rais wa zamani wa nchi hiyo, Nelson Mandela, hajambo baada ya ugonjwa wa mapafu na upasuaji wa kutoa mawe kwenye kibofu nyongo.
Alikuwa hospitali kwa majuma kadha mwezi wa Disemba.
Taarifa rasmi iliwanukuu madaktari waliomtibu wakisema kuwa Bwana Mandela, mwenye umri wa miaka 94, amepata nafuu na afya yake inazidi kutengenea.
Rais huyo amebaki nyumbani kwake mjini Johannesburg tangu alipotoka hospitali siku 11 zilizopita

New