My Web

Emmanuel

CONTACT

Friday, May 4, 2012

Rais Kikwete akitangaza Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri Mei 4, 2012



  1. ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

    MAWAZIRI

    1. OFISI YA RAIS

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
    Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
    Ndugu George Mkuchika, Mb.,

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
    Ndugu Celina Kombani, Mb.,

    2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
    Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
    Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,



    3. OFISI YA WAZIRI MKUU

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
    Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
    Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
    Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,

    4. WIZARA

    Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
    Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
    Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,

    Waziri wa Ujenzi
    Dr. John P. Magufuli, Mb.,

    Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
    Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,

    Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
    Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
    Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,

    Waziri wa Katiba na Sheria
    Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
    Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,

    Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    Dr. David M. David, Mb.,

    Waziri wa Kazi na Ajira
    Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,

    Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
    Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
    Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,

    Waziri wa Maji
    Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,

    Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
    Prof. Mark Mwandosya, Mb.,

    Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
    Eng. Christopher Chiza, Mb.,

    Waziri wa Uchukuzi
    Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,

    Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
    Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,

    Waziri wa Maliasili na Utalii
    Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,

    Waziri wa Viwanda na Biashara
    Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,

    Waziri wa Fedha
    Dr. William Mgimwa, Mb.,

    Waziri wa Nishati na Madini
    Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,

    5. NAIBU MAWAZIRI

    OFISI YA RAIS

    HAKUNA NAIBU WAZIRI

    6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS

    Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
    Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,

    7. OFISI YA WAZIRI MKUU

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
    Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
    Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,

    8. WIZARA MBALIMBALI

    Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
    Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,

    Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
    Ndugu Adam Malima, Mb.,

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
    Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,

    Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
    Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,

    Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
    Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
    Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,

    Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,

    Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
    Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,

    Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
    Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
    Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,

    Naibu Waziri wa Ujenzi
    Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,

    Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
    Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini
    Ndugu George Simbachawene, Mb.,

    Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
    Ndugu January Makamba, Mb.,

    Naibu Waziri wa Uchukuzi
    Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,

    Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
    Ndugu Amos Makala, Mb.,

    Naibu Waziri wa Maji
    Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,

    Naibu Waziri Nishati na Madini
    Ndugu Stephen Maselle, Mb.,

    Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
    Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,

    Naibu Waziri wa Fedha
    Ndugu Janet Mbene, Mb.,

    Naibu Waziri wa Fedha
    Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,

Rais Jakaya Kikwete

NAAM:

Ofisi ya Rais - Wassira anaendelea na nafasi yake

Celina Kombani kabadilishiwa Wizara

Nagu anaendelea

Lukuvi anaendelea na kazi yake

Ghasia kabadilishiwa Wizara

Sitta anaendelea na Afrika Mashariki

Nahodha anahamia Wizara ya Ulinzi

Magufuli anaendelea na nafasi yake

Hussein Mwinyi kahamishiwa Afya

Kawambwa anaendelea na ElimuS

Membe anaendelea na Mambo ya Nje

Chikawe anarudi Katiba na Sheria

Sofia Simba na nafasi yake

Nchimbi - Mambo ya ndani

Mathayo David anaendelea

Kabaka anaendelea na nafasi yake

Mbalawa anaendelea na nafasi yake

Tibaijuka anaendelea na nafasi yake

Chizza anakuwa Waziri wa Kilimo chakula na ushirika

Maghembe - Maji

Mwakyembe anakuwa Waziri wa Uchukuzi

Kagasheki - Utalii

Kigoda - Viwanda na Biashara

Mgimwa - Waziri wa Fedha

Prof. Mhongo Sospeter - Madini

Mahanga anaendelea na nafasi yake

Malima amehamishiwa Chakula/Kilimo

No comments:

Post a Comment

New