My Web

Emmanuel

CONTACT

Friday, October 19, 2012

DAR ES SALAAM HALI MBAYA


Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba kuna vurugu zinaendelea maeneo ya Kariakoo ambapo baadhi ya Waislamu wanaandamana kuelekea Kidongo Chekundu na polisi wanatumia mabomu ya machozi kuzuia maandamano hayo. Hali imekuwa tete na polisi wamelazimika kutumia helkopta kuzuia vurugu hizo ambazo zinahatarisha amani jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

New