My Web

Emmanuel

CONTACT

Friday, March 4, 2016

Airbus 380, Emirates imekamilisha safari ndefu zaidi

Ndege ya shirika la Emirates imekamilsha safari ya moja kwa moja ndefu zaidi duniani kutoka Dubai hadi New Zealand.

Ndege hiyo aina ya Airbus 380, ambayo ndiyo kubwa zaidi ya abiria duniani imesafiri angani kwa kilomita 14,200 bila kusimama, safari iliyochukua masaa 17 na dakika 15.






No comments:

Post a Comment

New