My Web

Emmanuel

CONTACT

Monday, November 7, 2011

Mamiss Tanzania wapata dili

Miss Tanzania namba mbili, Tracy Sospeter, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kula shavu.

Tracy na Alexia wakijisevia msosi kwenye hafla hiyo.

MREMBO aliyetwaa taji la Miss Tanzania namba mbili mwaka huu, Tracy Sospeter, na aliyetwaa taji la mshindi wa tatu, Alexia William, usiku wa kuamkia leo wamepata ‘shavu’ la kuwa mabalozi wa kampuni mpya ya kimataifa inayojihusisha na masuala ya Uhusiano na Masoko iitwayo Tanzania Mwandi. Warembo hao walikula shavu hilo kwenye uzinduzi wa kampuni hiyo uliofanyika Hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam.
’Wakijisosomola’.

Sehemu ya wadau walioalikwa.

Mhariri wa Gazeti la Championi, John Joseph, akitafakari jambo. Kulia ni mmoja wa wadau wa kampuni hiyo, Damas Ndumbaro.

Wadau wakisikiliza kwa makini.
Tracy akitoa shukrani baada ya kuteuliwa na kampuni hiyo kuwa balozi wake.

No comments:

Post a Comment

New