My Web

Emmanuel

CONTACT

Tuesday, November 8, 2011

Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na wageni wao Prince Charles na mkewe Duchess of Conrnwall

Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na wageni wao Prince Charles na mkewe Duchess of Conrnwall katika dhifa ya kitaifa waliyowaandalia jana usiku Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akisoma hotuba yake katika hafla hiyo.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akinyanyua glasi juu kuwatakia afya wageni wake na msafara wao.
Makofi baada ya hotuba ya Rais.
Prince Charles akisoma hotuba yake.
Duchess of Cornwall akimpongeza kiongozi wa bendi ya brass ya Polisi baada ya kutumbuiza vyema.

No comments:

Post a Comment

New