My Web

Emmanuel

CONTACT

Monday, January 23, 2012

MASTAA WA FILAMU WATUZWA, WAJIMWAYA KWA MUZIKI MAISHA CLUB

Mnenguaji wa Offside Trick akifanya vitu vyake.
Mastaa waliotunukiwa tuzo wakiwa pamoja.

Wanenguaji wakinogesha hafla hiyo.
Mambo bambam!

Vijana wa Offside Trick wakikamua na mnenguaji wao.

Mashabiki wakicheza mduara.
AT akiwa mzigoni.
MASTAA wa filamu nchini ambao walitunukiwa tuzo za heshima na kampuni ya Pilipili Entertainment jana walijimwaya katika burudani kali iliyosindikizwa na muziki wa Offside Trick na mwanamuziki AT kutoka Zanzibar.

Hafla hiyo iliyofahamika kama Mini-ZIFF (Zanzibar International Film Festival) ilifanyika katika ukumbi wa New Maisha Club ambapo iliendelea hadi usiku wa kuamkia leo.

No comments:

Post a Comment

New