My Web

Emmanuel

CONTACT

Tuesday, June 26, 2012

50 CENT APATA AJALI



50 Cent akipelekwa hospitali baada ya ajali hiyo.
Lori lililogonga gari la 50 Cent.

Mkoko wa 50 baada ya ajali.
Mwanamuziki Curtis James Jackson '50 Cent' usiku wa kuamkia leo amepata ajali mbaya baada ya gari lake kugongwa na lori. Baada ya ajali hiyo 50 Cent alikimbizwa katika hospitali ya Queens kwa matibabu. Dereva aliyekuwa anaendesha gari lake naye amelazwa hospitali baada ya ajali hiyo mbaya.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA: www.thisis50.com

No comments:

Post a Comment

New