My Web

Emmanuel

CONTACT

Tuesday, June 26, 2012

ONA MASHABIKI WA UINGEREZA WALIVYOFANYA





Taswira zikiwaonyesha mashabiki wawili Waingereza walioamua kushusha bukta kama zilivyonaswa .
Wakati Mchezaji wa Italia Alessandro Diamanti akipiga mkwaju wa mwisho mashabiki wawili waliamua kushusha bukta zao walizovaa ili kumzubaisha mpigaji penati katika hali ya kumzubaisha mpigaji huyo lakini aliweza kutumbukiza kwenye kamba mkwaju huo na kuwaacha hoi Waingereza.

No comments:

Post a Comment

New