My Web

Emmanuel

CONTACT

Monday, October 31, 2011

Mimba ya Wema yawa kero

Na Brighton Masalu.
WEMA Isaac Sepetu (pichani), mwenye kibendi cha miezi miwili kasoro alichopachikwa na ‘kidume’ Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’, amegeuka kero kwa baadhi ya mastaa Bongo hasa wa kike kutokana na kutema mate ovyo, kujichetua na kuinadi mimba yake kupita maelezo.

Akizungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Wema alisema kuwa kinachosababisha awe kero ni dalili za wazi za mjamzito alizonazo ikiwemo kutema mate ovyo, kubagua vyakula na kudeka kupitiliza.

Alifunguka: “Wanasema nawakera, lakini nahisi wananionea gere na mimba yangu. Mimi sina chuki na mtu yeyote na naomba…

Na Brighton Masalu.
WEMA Isaac Sepetu (pichani), mwenye kibendi cha miezi miwili kasoro alichopachikwa na ‘kidume’ Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’, amegeuka kero kwa baadhi ya mastaa Bongo hasa wa kike kutokana na kutema mate ovyo, kujichetua na kuinadi mimba yake kupita maelezo.

Akizungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Wema alisema kuwa kinachosababisha awe kero ni dalili za wazi za mjamzito alizonazo ikiwemo kutema mate ovyo, kubagua vyakula na kudeka kupitiliza.

Alifunguka: “Wanasema nawakera, lakini nahisi wananionea gere na mimba yangu. Mimi sina chuki na mtu yeyote na naomba wanivumilie.”


No comments:

Post a Comment

New