My Web

Emmanuel

CONTACT

Saturday, October 29, 2011

Watu wafurika kwa Nabii Flora kupata uponyaji

Nabii Flora (aliyeshika maiki) akiendesha maombezi kwa wenye matatizo.
Watu wenye matatizo wakishiriki maombi ya kuponywa kanisani kwa Nabii Flora.
WATU wengi wamekuwa wakifurika kutafuta uponyaji kwa njia ya maombezi kutoka kwa Nabii Flora ambaye mashuhuda wanasema anaponya magonjwa mbalimbali kama vile Ukimwi, kansa, kupoteza fahamu, magonjwa ya moyo, upofu, ulemavu na kadhalika.

Maombi hayo yaendeshwa na Nabii Flora huko Mbezi Beach maeneo ya Tangi Bovu jijini Dar es Salaam ambapo watu wenye kufuata huduma hiyo wamekuwa wakiwasiliana naye kwa kutumia namba za simu 0657 442699.

Zifuatazo ni picha zaidi za uponyaji katika kanisa la Nabii Flora:

No comments:

Post a Comment

New