My Web

Emmanuel

CONTACT

Wednesday, April 11, 2012

BAADHI YA MAENEO YA DAR YAKUMBWA NA MAFURIKO

Baadhi ya watu wakivuka kwenye mafuriko

mmama nae akipita akiwa na sufuria zake
Magari madogo yapata chida ya kupita kutokana na maji kuwa mengi

Jamaa akifanya Biashara yakuwavusha watu kwa kuwabeba

watu wakiendelea kuvuka sambamba na magari


Jamaa wakivaa viatu baada ya kumaliza kuvuka kwenye maji mengi

Bajaji nazo zilikuwa kwenye wakati mgumu kutokana na maji kuwa mengi sana

Pikipiki nazo zapata adha hiyo ya mvua

No comments:

Post a Comment

New